-- Lissu amekosa haki ya kuonana na mawakili wake, kila anayeonana na Lissu lazima kuwe na askari anasikiliza, hivyo ameshindwa kufanya kazi na mawakili wake sababu hakuna faragha, kuanzia sasa atajaribu kujiwakilisha sababu mawakili wanadhibitiwa na Bwana Jela
-- Lissu amekosa haki ya kuonana na mawakili wake, kila anayeonana na Lissu lazima kuwe na askari anasikiliza, hivyo ameshindwa kufanya kazi na mawakili wake sababu hakuna faragha, kuanzia sasa atajaribu kujiwakilisha sababu mawakili wanadhibitiwa na Bwana Jela
-- Lissu amekosa sehemu ya kufanya mazoezi, anapita sehemu ya maji machafu yenye utelezi ambayo anaweza kuanguaka kutokana na mguu wake mmoja kuwa Mbovu
-- Lissu amekosa sehemu ya kufanya mazoezi, anapita sehemu ya maji machafu yenye utelezi ambayo anaweza kuanguaka kutokana na mguu wake mmoja kuwa Mbovu