#Ramadhanikareem.
#Ramadhanikareem.
"Anasimulia Abuu Huraira (r.a) kuwa amesema Mtume (s.a.w) ibada ya swala tano, na kutoka ijumaa moja hadi nyingine, na kutoka ramadhani moja hadi nyingine ni sababu ya kufutiwa madhambi yaliyotendwa kati ya nyakati hizo pale ambapo madhambi makubwa yameepukwa."
"Anasimulia Abuu Huraira (r.a) kuwa amesema Mtume (s.a.w) ibada ya swala tano, na kutoka ijumaa moja hadi nyingine, na kutoka ramadhani moja hadi nyingine ni sababu ya kufutiwa madhambi yaliyotendwa kati ya nyakati hizo pale ambapo madhambi makubwa yameepukwa."
Dunia hukosa thamani kwa mtu aliyeshindwa kupata haja ndogo. Kwa kukosa hekima na siri za baadhi ya mambo tunalalamika kwa vitu tulivyopaswa kushukuru"
Dunia hukosa thamani kwa mtu aliyeshindwa kupata haja ndogo. Kwa kukosa hekima na siri za baadhi ya mambo tunalalamika kwa vitu tulivyopaswa kushukuru"